drmaxmhozya
Member
- Aug 7, 2020
- 51
- 48
Mimi naishi nyumbani ila ni kijana ambaye nahitaji pia ndoto zangu zikamilike kila mmoja yupo duniani kwa ajili na ameumbwa kwa mfano wake siyo kwamba Sina Kodi ya kulipa hapana namatumaini kuna watu wana nyumba zao wengi tu ila wamekosa watu gani waaminifu ambao wanaweza kulinda nyumba zao kwa uaminifu wote kwa kuzingatia usafi wa mazingira nasema hivyo kuna watu wanaishi ulaya nyumba zao zipo huku Tanzania.
Basi mimi nahitaji hiyo fursa Kama kuna mwenye nyumba kakosa muangalizi basi Mimi nipo tayari kuilinda nyumba hiyo kwa uaminifu wote kabisa nichukue nafasi hii Kama kuna mwenye nyumba kakosa muangalizi nyumba ipo tu basi tusaidiane ndo itakuwa mwanzo wa udugu wetu mungu katuumba wanadamu tupendane na msaidie mwenzio anapohitaji asanteni sana namatumaini jamii forum inawatu sahihi Sana wenye weledi na upendo
Mimi ni muhitaji nisaidieni nipo Dar es Salaam
Mawasiliano yangu ni 0657709912
Basi mimi nahitaji hiyo fursa Kama kuna mwenye nyumba kakosa muangalizi basi Mimi nipo tayari kuilinda nyumba hiyo kwa uaminifu wote kabisa nichukue nafasi hii Kama kuna mwenye nyumba kakosa muangalizi nyumba ipo tu basi tusaidiane ndo itakuwa mwanzo wa udugu wetu mungu katuumba wanadamu tupendane na msaidie mwenzio anapohitaji asanteni sana namatumaini jamii forum inawatu sahihi Sana wenye weledi na upendo
Mimi ni muhitaji nisaidieni nipo Dar es Salaam
Mawasiliano yangu ni 0657709912