Jaslaws JF-Expert Member May 31, 2011 6,016 5,284 Dec 12, 2013 #1 Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya tabata jamani..
S specter Member Dec 5, 2013 31 6 Dec 12, 2013 #2 Nyumba ya kupanga au kununua? N kama kupanga ni full house au rum kadhaa?
YouTube JF-Expert Member Jul 24, 2012 936 361 Dec 12, 2013 #4 Jaslaws said: Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya tabata jamani.. Click to expand... funguka vizuri usaidiwe, tabata kubwa, hujali tabata gani alimradi ni nyumba? nyumba ya vyumba vingapi? uwezo wako wa kodi mwisho ngapi?
Jaslaws said: Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya tabata jamani.. Click to expand... funguka vizuri usaidiwe, tabata kubwa, hujali tabata gani alimradi ni nyumba? nyumba ya vyumba vingapi? uwezo wako wa kodi mwisho ngapi?
Kiwa JF-Expert Member Oct 4, 2011 2,102 905 Dec 12, 2013 #5 wewe wa kiume au wa kike?kuna mzee mmoja ana nyumba tabata anataka binti ambae hajaolewa.kama uko tayari sema
wewe wa kiume au wa kike?kuna mzee mmoja ana nyumba tabata anataka binti ambae hajaolewa.kama uko tayari sema
Fadhili Paulo JF-Expert Member Sep 1, 2011 3,211 988 Dec 13, 2013 #6 Kiwa said: wewe wa kiume au wa kike?kuna mzee mmoja ana nyumba tabata anataka binti ambae hajaolewa.kama uko tayari sema Click to expand... Huyo mzee ni wa kumuogopa sana.
Kiwa said: wewe wa kiume au wa kike?kuna mzee mmoja ana nyumba tabata anataka binti ambae hajaolewa.kama uko tayari sema Click to expand... Huyo mzee ni wa kumuogopa sana.