NATAFUTA NO ZA UONGONZI WA TAQWA HIGH SCHOOL MWANZA

Andrew Sosipeter

Senior Member
May 29, 2016
189
33
Msaada kwa mwenye no za uongonzi wa taqwa high school mwanza anisaidie ikiwezekana hata joining instructions
 
Hii shule bora uumwe ugonjwa wa Zika kuliko kisoma hapo.

Ni ya mwisho kitaifa na wanao soma hapo wanaishia uteja, kujiuA,dereva malori na biashara za sembe
 
hahahaha mheshimiwa jaji saluteee kwako.mkuu ile siyo shule ni genge la wahuni tu
 
Embu mpeni namba kama hamna mnyamaze sio mnaleta mambo ambayo hata mleta mada hajayahitaji
 
Hii shule bora uumwe ugonjwa wa Zika kuliko kisoma hapo.

Ni ya mwisho kitaifa na wanao soma hapo wanaishia uteja, kujiuA,dereva malori na biashara za sembe
acha uongo ww labda teja pekeako kwanza hujasoma taqwa bali una ropoka ropoka tuu bila kujua unaandka nn kuwa makin next tym before hujapost
@former taqwa student
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom