Natafuta nguo kama hii

am a girl

JF-Expert Member
Nov 1, 2016
748
504
Mambo zenu,wapi naweza kupata gauni kama hili ila refu lake.
kkoo nimezunguka had bas,naomba kutajiwa duka au eneo lenye naweza kupata ndefu yake plz.
PhotoGrid_1482641173741.png
 
Mambo zenu,wapi naweza kupata gauni kama hili ila refu lake.
kkoo nimezunguka had bas,naomba kutajiwa duka au eneo lenye naweza kupata ndefu yake plz.
Tabata bima pale kuna viduka pale lipo tena ni refu wanayauza 40elfu, niliona kama mwezi umepita hivi sijuwi kama litakuwepo nenda kaangalie japo
 
Back
Top Bottom