Be serious!! Hii post haipo jukwaa la utaniIjia home ninalo halafu kidogo tu niligawe.
Ni refu hata ukiruka mstari wa siafu hawawezi kukuchungulia pia lina bee proof ndani sababu ya hayo maua.
Tabata bima pale kuna viduka pale lipo tena ni refu wanayauza 40elfu, niliona kama mwezi umepita hivi sijuwi kama litakuwepo nenda kaangalie japoMambo zenu,wapi naweza kupata gauni kama hili ila refu lake.
kkoo nimezunguka had bas,naomba kutajiwa duka au eneo lenye naweza kupata ndefu yake plz.
Pouwa karibuAsante,ntaenda kuulizia.
We ndo haupo siri-hasi kunikuoti bila kunidirekti ili kufika jukwaa la utani napanda magari gani me ngeni huku ntwara.Be serious!! Hii post haipo jukwaa la utani
Haya Wape kheri ya ChristmasWe ndo haupo siri-hasi kunikuoti bila kunidirekti ili kufika jukwaa la utani napanda magari gani me ngeni huku ntwara.
Sawa sawa Mkuu zimefika.Haya Wape kheri ya Christmas