nyendo kintu
Member
- May 31, 2011
- 20
- 2
Wakuu habari za miangaiko mimi ni kijana mwenye shahada ya mazingira ( Bachelor of Science in Environmental Management) baada ya kusaga sana viatu kutafuta ajira nikajikuta nakuwa na wazo la kujiari na kuajiri wengine pia. Asante kwa mitandao ya siku hizi! nilipoweka idea yangu na profile yangu kwenye mtandao wa Imagine Nations nikabahatika kumpata Mentor ambaye amefurahia sana idea yangu na yeye yupo USA ni consultant ambaye anawalink na kusaidia kupata pesa toka Usaid. Sasa tumefikia hatua ambayo nahitajika kuja Template za mradi huo na yeye kuziwakilisha ili fund iweze kutoka. Hii nilikuwa kama natest zari sikuwa na NGO wala CBO na huyu bwana anataka vitu hivi na mambo mengine. Kwa vile anayomiradi mingine Uganda anataka pia kuja hapa kwangu ili kuniona. Maelezo ni mengi kwa aliyetayari tusaidiane kutekeleza naomba tuwasiliane ili nimpe details zaidi. Just to hint mradi ambao tunatakiwa kuimplement ni wa kilimo cha mboga na matunda kwa kujenga mabwawa ya maji na kufanya drip irrigation na baada ya hapo vikundi vitakavyoundwa na kulima kwa kutumia mabwawa hayo vitaunda cooperative ili kukausha matunda na mboga kwa ajili ya soko la nje na ndani na hapa tutatumia solar dryer na electric dryer. Idea ni kutotegemea rainfed holticultura.
Nipo Karagwe kagera.
please kwa aliye tayari anaweza kuni PM hapa mwijagejr@gmail.com au 0764312429.
Asanten
Nipo Karagwe kagera.
please kwa aliye tayari anaweza kuni PM hapa mwijagejr@gmail.com au 0764312429.
Asanten