Hello wana Jamii forum...
Jamani mimi nafanya kazi katika kampuni fulan hapa mjini lakin kila nikiomba tenda nakosa, wanapata washiriki wengine.
Tafadhalini naombeni mbinu za kushinda na kuchukua tenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.