Natafuta nafasi ya kazi kwenye Kampuni ya simu, atakayenisaidia kupata nitampa mshahara wangu wa mwezi mmoja

naomba kazi

JF-Expert Member
Mar 5, 2019
253
213
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu

Najua wengi wenu mtanibeza, ntanitusi na wengine kunikebehi ila kiukweli natamani sana kufanya kazi kwenye telecommunica industry

Kwa yeyote atakayenisaidia kupata kazi kwenye kampuni izi za telecommunications industry e.g. (TIGO, VODA, HALLOTEL, ZANTEL, AIRTEL au TTCL)

Baada tu ya kusaini mkataba (on-the-sport) nampatia zawadi ya mshahara ntakaokuwa nimeingia(saini) na taasisi usika

Elimu yangu ni degree ya computer science (sayansi ya komputa)

Uzoefu wa kazi: 2 years working experience (up-to-now)

Naombeni sana msaada wenu wakuu,

Note: kila nafasi ambayo uwa inatangazwa na makampuni ayo usika uwa naomba ila sijawai bahatika kupata

Karibuni sana na mungu awabariki
 
Sasa kazi gani unayotaka?
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu

Najua wengi wenu mtanibeza, ntanitusi na wengine kunikebehi ila kiukweli natamani sana kufanya kazi kwenye telecommunica industry

Kwa yeyote atakayenisaidia kupata kazi kwenye kampuni izi za telecommunications industry e.g. (TIGO, VODA, HALLOTEL, ZANTEL, AIRTEL au TTCL)

Baada tu ya kusaini mkataba (on-the-sport) nampatia zawadi ya mshahara ntakaokuwa nimeingia(saini) na taasisi usika

Elimu yangu ni degree ya computer science (sayansi ya komputa)

Uzoefu wa kazi: 2 years working experience (up-to-now)

Naombeni sana msaada wenu wakuu,

Note: kila nafasi ambayo uwa inatangazwa na makampuni ayo usika uwa naomba ila sijawai bahatika kupata

Karibuni sana na mungu awabariki
 
Anyone can help me please
Tatizo lako ww mwenyewe pamoja na degree yako na experience ya miaka 2 hujui UNAJUA nini.

Yaani unaoneka una cheti lkn practical skills hauna,kaa na cheti chako uone kama kitakupatia kazi.

Yaani dah una degree na experience ya miaka miwili lkn hujui UNAJUA au UNAJIHUSISHA na nini.
 
Tatizo lako ww mwenyewe pamoja na degree yako na experience ya miaka 2 hujui UNAJUA nini.

Yaani unaoneka una cheti lkn practical skills hauna,kaa na cheti chako uone kama kitakupatia kazi.

Yaani dah una degree na experience ya miaka miwili lkn hujui UNAJUA au UNAJIHUSISHA na nini.
I have a knowledge and experience on the following activity

1. Penetration Testing (vulnerability, sniffing, exploit & tools and social engineering )

2. To secure system by (linux, DNS, and cryptography )

3. To secure connectivity like ( switch, router, firewall, VPN, IPS and IDS)

4. Digital forensics investigation (mobile and computer )

5. Computer networking

6. system analysis and design

7. IT support, project management, and fleet management system

8. Security system (cctv camera, alarm system, electric fence, and biometric system )
 
I have a knowledge and experience on the following activity

1. Penetration Testing (vulnerability, sniffing, exploit & tools and social engineering )

2. To secure system by (linux, DNS, and cryptography )

3. To secure connectivity like ( switch, router, firewall, VPN, IPS and IDS)

4. Digital forensics investigation (mobile and computer )

5. Computer networking

6. system analysis and design

7. IT support, project management, and fleet management system

8. Security system (cctv camera, alarm system, electric fence, and biometric system )
Sasa ulitakiwa uanze kujielezea hivyo ili watu wajue wanaanzia wapi kukusaidia.
Pili je uliapply nafasi za kazi TCRA walikuwa wanataka watu wa ICT security?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom