naomba kazi
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 253
- 213
Habarini ndugu zangu, poleni na majukumu
Najua wengi wenu mtanibeza, ntanitusi na wengine kunikebehi ila kiukweli natamani sana kufanya kazi kwenye telecommunica industry
Kwa yeyote atakayenisaidia kupata kazi kwenye kampuni izi za telecommunications industry e.g. (TIGO, VODA, HALLOTEL, ZANTEL, AIRTEL au TTCL)
Baada tu ya kusaini mkataba (on-the-sport) nampatia zawadi ya mshahara ntakaokuwa nimeingia(saini) na taasisi usika
Elimu yangu ni degree ya computer science (sayansi ya komputa)
Uzoefu wa kazi: 2 years working experience (up-to-now)
Naombeni sana msaada wenu wakuu,
Note: kila nafasi ambayo uwa inatangazwa na makampuni ayo usika uwa naomba ila sijawai bahatika kupata
Karibuni sana na mungu awabariki
Najua wengi wenu mtanibeza, ntanitusi na wengine kunikebehi ila kiukweli natamani sana kufanya kazi kwenye telecommunica industry
Kwa yeyote atakayenisaidia kupata kazi kwenye kampuni izi za telecommunications industry e.g. (TIGO, VODA, HALLOTEL, ZANTEL, AIRTEL au TTCL)
Baada tu ya kusaini mkataba (on-the-sport) nampatia zawadi ya mshahara ntakaokuwa nimeingia(saini) na taasisi usika
Elimu yangu ni degree ya computer science (sayansi ya komputa)
Uzoefu wa kazi: 2 years working experience (up-to-now)
Naombeni sana msaada wenu wakuu,
Note: kila nafasi ambayo uwa inatangazwa na makampuni ayo usika uwa naomba ila sijawai bahatika kupata
Karibuni sana na mungu awabariki