Ndo tatizo la Kampun za Kitanzania ukiomba internship wao wanafikiri uta ngangania kukaa kazini wakat ni kitu cha mkataba tuu machahe sana yenye Ku accept internship Ndo watu wanakosa kuonyesha skilss zao baada ya kutoka chuoAsante, Nilijaribu kwenda pale bt Walinzi hawakuniruhusu kuingia kwenye ofisi walipiga simu kwa muhusika na kujibiwa hakuna nafasi.
Kweli kabisaNdo tatizo la Kampun za Kitanzania ukiomba internship wao wanafikiri uta ngangania kukaa kazini wakat ni kitu cha mkataba tuu machahe sana yenye Ku accept internship Ndo watu wanakosa kuonyesha skilss zao baada ya kutoka chuo
Asante, Nitakutumia.Tuma cv : charleschad78cc@gmail.com