nivlac
New Member
- Sep 1, 2015
- 2
- 2
Habari wana JF. Mimi ni mkazi wa Kigamboni ninajishuhulisha na web design. Nina idea ya programming kama html, css, php na kwa mbali kama C. Nmetokea kusikia kuhusu python lang. Natafuta mtaalamu mwenye ujuzi anipe mwanga zaidi maana nimedesa online naona mambo bado hayajakaa sawa.
Ni pm ujuzi wako na gharama zake kama upo apa mjini dar es Salaam. Natanguliza shukrani.
Ni pm ujuzi wako na gharama zake kama upo apa mjini dar es Salaam. Natanguliza shukrani.