Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Naomba ufafanuzi hapo kwenye usomi wako tafazali........ Your quick response is highly appreciated.About me:
-Christian
-Msomi
-Najitegemea
Mengineyo tutafahamishana zaidi
Sifa ninazohitaji kwa Mwenzi wangu:
-Awe mtu mzima miaka 35-45
-Christian mwenye hofu ya Mungu
-Awe anaishi Dsm
-Ameenda shule japo degree moja
-Asiwe ameoa wala kua anaishi na mwanamke kwa sasa
-Akiwa ameachika au ana mtoto ni sawa
-Awe na shughuli/kazi inayoeleweka sihitaji tapeli
-Asiwe Mlevi ila kunywa kiasi ni sawa
-Awe na hitaji la kuwa na mtu wa karibu kama ni mapenzi ya Mungu tutaoana
-Awe muwazi kuhusu maisha yake
If interested PM me,namba za simu tutapeana baadae.