chapaa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2008
- 2,351
- 203
Hiyo ni biashara kataka mwarabu so haina haja kutoa mdomo wako
Alikuwa na haki ya kuspacefy bt mi sioni kama ni ishu ya ww kuja juu,tulia ndg.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni biashara kataka mwarabu so haina haja kutoa mdomo wako
Ukisikia Inferiolity Complex ndio hii! Kwa hiyo hata akitokea Mbantu mwenzio mwenye mkwanja unaohitaji wewe utakataa hadi ajitokeze muarabu??? Pole Sana.
r u serious????mkuu itabidi uje ulione ili uweze kunishauri bei maana ni eneo kubwa na lina nyumba pia
r u serious????
nina eneo kubwa la eka 2, liko mbezi luis pembezoni mwa barabara ya kwenda mpiji, natafuta mwarabu anaetaka eneo kwa ajili ya sheli nimuuzie haraka iwezekanavyo, kama kuna mtu anamjua mwarabu anae hitaji eneo basi tuwasiliane, donge nono lipo
sio lazima mwarabu lakini mara nyingi warabu ndo watu wa sheli,
Alikuwa na haki ya kuspacefy bt mi sioni kama ni ishu ya ww kuja juu,tulia ndg.
nina eneo kubwa la eka 2, liko mbezi luis pembezoni mwa barabara ya kwenda mpiji, natafuta mwarabu anaetaka eneo kwa ajili ya sheli nimuuzie haraka iwezekanavyo, kama kuna mtu anamjua mwarabu anae hitaji eneo basi tuwasiliane, donge nono lipo
sawa ndugu ila haipendezi kutukana kabila , labda angemuliza kwanini unataka mwarabu, binadamu wote ni sawa.wewe lengo lake umesha lijua mbona unakurupuka na matusi ndg hatuendi hivyo.
una chelewa anza leo.wakati sisi tunajiandaa kuwatimua,wewe unawakaribisha waarabu wahindi!jiulize wewe waweza kwenda kwao kuweka shell?
yaelekea hujatembea huijui dunia, mbona wazungu hujawataja? Au ndo unaogopa utakosa msaada pole zakowakati sisi tunajiandaa kuwatimua,wewe unawakaribisha waarabu wahindi!jiulize wewe waweza kwenda kwao kuweka shell?