Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 23,903
- 70,841
Kuna nn????jaman jf kuna mambrooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna nn????jaman jf kuna mambrooo
Vituko etiKuna nn????
Wapo wakutumdika mimba na mkataba unaishia hapo sawa . Ila na wewe usizae ukizaa mkataba mwingine huoKama unaona huwezi kuniachia mwanao basi post hii si kwajil yako mi nataka ambae atakua tayari kuniacha mimi na mtoto tuendelee na maisha yetu
Ndo umesema mambroooooo duuh au nmefikilia mbali hahahahahVituko eti
umefikiria mbali haswaaNdo umesema mambroooooo duuh au nmefikilia mbali hahahahah
Basi kitakua kihele hele changu dooooohhumefikiria mbali haswaa
na kweli kihelehele..Basi kitakua kihele hele changu dooooohh
serious ?Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Mimi nipo Mwanza nitumie nauli nianze safari ?Habarini natafuta mwanaume mwenye vigezo vifuatavyo ili anipe mimba nizae mtoto wangu ambae nitamlea mwenyewe bila kuhitaji msaada wake. Mkataba wetu utaishia pale tu atakapo nipatia ujauzito baada ya hapo kila mtu ashike 50 zake.
sifa za mwanaume:
awe mrefu rangi yoyote
asiwe mwembamba sana
umri kuanzia 28-50
NB: awe tayari kupima HIV
awe anaishi Arusha ili iwe rahisi kukamilisha lengo
KARIBUNI pm
Mimi mbona nipo serious ? Tatizo ww ulijimix ukanandiwa na vibaka.Kipindi nakusakua pm ulikuwa na nyodo mno sasa marinda chalihuku jf wapo wapenda papuchi tu wanaume wa kupanga mambo sirias ni wachache kuwa makini
Naamini ulikidhi vigezo vyoteKila la kher mkuu