Mhando Godfrey
Member
- Dec 9, 2016
- 69
- 30
Hizi mambo za madada kutafuta wachumba kidini jnakuwaje au hamsini kwa hamsini?
Okay nadhani mme nimepatikana naomba nami nikupe vigezo vyanguHabari zenu wadau,
Nimekuja kwenu mara nyingine, rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia nitampenda na kumlinda, sifa zangu umri 25, mkristo, kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.
Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike, sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box.
nenda banaa mkuu usiogopeNingekuja, ila kwa kweli hiyo avatar yako imenitisha. Ni nani huyo umemlalia?
Akupende kama anavyowapenda dada zake, MTAZAA KWELI..??Habari zenu wadau,
Nimekuja kwenu mara nyingine, rafiki nimepata sasa natafuta mwanaume ambae atakua baba wa famiilia nitampenda na kumlinda, sifa zangu umri 25, mkristo, kazi nafanya kazi ya kufulia watu nguo majumbani kwao.
Mwanaume ninae mtaka awe na nia ya kuoa na mwenye mapenzi ya dhati anipende kama anavyo wapenda ndugu zake wa kike, sitaki mwanaume mwenye mfumo dume daima
mengine kuhusu mimi tafadhari in box.
nenda banaa mkuu usiogope
Ww unae tayari au nianze harakati za pimbiZidi kumuomba M'mungu kwa imani yako nina imani ipo siku utafanikiwa mana kila jambo lazima kumtanguliza mungu.
Wivu ni kidonda mkuu....jikaze bwana, mtakua wawili tuHata mimi nina wivu pia. Siendi mpaka nipate ufafanuzi wa kuridhisha.
Ww unae tayari au nianze harakati za pimbi
Kwahiyo ndio umenikataa kwa dizaini hiyo?!Wanaotaka harakati za pimbi si hao wanaanzisha uzi jamani kwa ajili yenu.