Nina kesi ya madai. Nahitaji mdaiwa wangu apelekewe hiyo document. kama kuna mtu anaweza nifanyia hiyo kazi anicheki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
very simple just google for a template
ninayo templatenina kesi ya madai. nahitaji mdaiwa wangu apelekewe hiyo document. kama kuna mtu anaweza nifanyia hiyo kazi anicheki
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni demand NOTICE.
NOTES ni kama zile tunazochukua darasani.
Katika tafsiri ya maelezo yako tayari kesi imefunguliwa Mahakamani "Demand note" huandaliwa Kama kesi hijafunguliwa Mahakamani na lengo lake kuu ni taarifa inayopelekwa kwa mtu unaye mdai kuona Kama busara zake zitamfanya alipe kiasi hicho nje ya Mahakama.Nina kesi ya madai. nahitaji mdaiwa wangu apelekewe hiyo document. kama kuna mtu anaweza nifanyia hiyo kazi anicheki.
Sent using Jamii Forums mobile app
We kweli kanjanja! Mambo sio rahisi hivyo ndugu utampoteza mwenzako!very simple just google for a template
😀😀😀😀😀 Hii cross examine nimeikubali wallah