Kaongee na Hamisa MobbetoWanawake changamkia fulsa.
Hakuna mwanamke anaweza kukubali hiyo habari. So nishajaribu kumwambia tukagombana.Wasukuma kwa wanawake weupe mko vizuri.
Mmekubaliana na mkeo kufanya hiloo??
Hakuna mwanamke anaweza kukubali hiyo habari. So nishajaribu kumwambia tukagombana.
Usukumani huwa tunachagua mdogo wako mmoja anazaa nanmkeo, then inakuwa siri yako na mkeo na mdogo wako.Kama tatizo lingekuwa lako ungekubali azalishwe na mwanaume mwingine????
Khaaaa!Kama tatizo lingekuwa lako ungekubali azalishwe na mwanaume mwingine????
Ndiyo mana umetakiwa uwe na kazi siku akikwama unajiongeza!utawajibika kama mume???
Kula kunywa kulala kutakuhusu???
Au utawajali watoto tu miminitajijua mwenyewe
Je kuna mkataba??
Usukumani huwa tunachagua mdogo wako mmoja anazaa nanmkeo, then inakuwa siri yako na mkeo na mdogo wako.
SawaaaNdi
Ndiyo mana umetakiwa uwe na kazi siku akikwama unajiongeza!
Ahsante kwa ushauri. Ila huwa sipendi kutoa nafasi kwa majuto katika maamuszi yyt nilochukua.changamoto zipo tangia siku ulipodondoka kutoka tumbo la mama yako.Nikupe tu ushauri.
Unaweza ukapata hao watoto lakini unaweza ukapitia maswaiba mpaka ukajuta ya nini nilifanya hivyoo.
Wakati unapofika nwisho wa uvumilivu kukata tamaa ndio hapo kitu kinatiki. Mshirikishe Muumba wako jaribu tena kwa Mara ya mwisho.
Umeshapewa namba au bado unawaza wahi mapema,Sawaaa
Hili wazo umemshirikisha Mke wako...Habarini wapendwa. Mimi ni mwanaumewa umri wa wastan. Nina miaka 39, nimeoa na kubahatika kupata mtoto mmoja, ambaye alipatikana tukiwa chuoni mwana 2007 na baadae kuoana 2009. Nina miaka 9 katika ndoa. Tumejaribu kutafuta watoto zaidi ya mara tatu na kila mara tunapata bahati mbaya. Mpaka sasa nahofia kujaribu tena kwa kuogopa kumuumiza mke wangu. Kwa hiyo kama kuna mwanamke yupo tayari kuzaa na mm mtoto mmoja ama wawili anitafute inbox. Mimi nitatunza watoto na kuwasomesha bila shida.ila si kwa ajili ya kuoana kwani nina mke tayari na tumefunga ndoa kisheria na ni mkristo.
Mwanamke awe na umbo la wastan yaan sio mnene sana na wala si mwembamba, awe mweupe ama maji ya kunde.(mm ni super black)..awe na kazi ama shuguli binafsi yaan asiwe mtu wa nyumbani tu, awe mkristo ama aliye tayari kubadili dini maana japo hatutaoana ila nitawajibika kwake kama mume, awe mpole na mchapa kazi, awe tayari kuniheshimu kama mzazi mwenzake.mm ni mwenyeji wa mwanza na ninaishi kanda ya ziwa. Hivyo mwenye kuhitaji nifuate inbox na sio hapa common
Umeshapewa namba au bado unawaza wahi mapema,
Kwanza huyo ata wivu atakuwa hana kwa hiyo lazima utafute wa ku shift naye!
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us