hello jf...iam very serious with this!!mimi ni kijana mwanaume wa umri usiozid 30...maisha yangu kwa ujumla ni ya kawaida kwa sasa kwani ninajitegemea..najitokeza kwenye jukwaa hili kwa request kama ilivyo apo juu kwenye heading..
.naomba mwanamke atakaekua TAYARI kusababisha mimi na yeye tupate ujauzito utakaotupa mtoto SALAMA kwani sipo Ok kiafya...natumai nimeeleweka ..nitakua tayari kwa responsibilities as a father..
.naomba mwanamke atakaekua TAYARI kusababisha mimi na yeye tupate ujauzito utakaotupa mtoto SALAMA kwani sipo Ok kiafya...natumai nimeeleweka ..nitakua tayari kwa responsibilities as a father..