Spirit
JF-Expert Member
- Sep 19, 2013
- 457
- 380
Hahahaaatafuta mdada mwenye vigezo uvitakavyo kisha fanya makubaliano naye kwamba akuuzie ova yake..kisha tafuta surrogate mother wa kubeba na kutunza hiyo fertilised ova hadi wakati wa kujifungua...ila hilo jambo sidhani linakubalika tanzania..itakubidi ukatafute huko nchi za ulaya