tethering
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 331
- 139
Rejea kichwa cha habari.
Nina umri wa miaka 29, elimu yangu ni chuo kikuu.zifuatazo ni baadhi sifa muhimu za mke naemuitaji :
1.Awe mcha Mungu ( mkristo )
2. Awe mwenye maadili ya kiafrika.
3.Awe na elimu yoyote hata kama aliishia chekechea
4.Awe mpenda maendeleo ( asiridhike tu na uhakika wa kupata chai asubui na chakula)
5. Sio lazima awe na kaz kwa sasa, awe nayo asiwe nayo sawa.hata kama amejiajiri sawa.
6.kabila lolote na rangi si muhimu
7. Asiwe mwemba, umbo la wastan
8.kama ana mtoto bahat mbaya,bas asizid mmoja kwan naamin mmoja hatanisumbua sana ktk malez
9. Umri wake kuanzia 18- 26
10. Urefu wake uwe wastan tu au zaid.
11. Asiwe mkereketwa wa haki sawa
12. Mvumillivu, mwaminifu, msiri wa mambo ya ndani.
13. Asiwe mjuaji kupitiliza (much know) , yan akubali kujifunza kutoka kwa wengine pale inapotokea kakosea.
14. Ajue wajibu wake kama mke
Hayo ni mambo ya msingi sana kwangu, nipo serious naomba sana tuweke pembeni utani ,kashfa na kejeli, kama hauna kizur cha kupost ni jambo jema kukukaa kimya waheshimiwa. Mwenye uhitaji kama wangu tuwasiliane kwa private message (PM).
Nina umri wa miaka 29, elimu yangu ni chuo kikuu.zifuatazo ni baadhi sifa muhimu za mke naemuitaji :
1.Awe mcha Mungu ( mkristo )
2. Awe mwenye maadili ya kiafrika.
3.Awe na elimu yoyote hata kama aliishia chekechea
4.Awe mpenda maendeleo ( asiridhike tu na uhakika wa kupata chai asubui na chakula)
5. Sio lazima awe na kaz kwa sasa, awe nayo asiwe nayo sawa.hata kama amejiajiri sawa.
6.kabila lolote na rangi si muhimu
7. Asiwe mwemba, umbo la wastan
8.kama ana mtoto bahat mbaya,bas asizid mmoja kwan naamin mmoja hatanisumbua sana ktk malez
9. Umri wake kuanzia 18- 26
10. Urefu wake uwe wastan tu au zaid.
11. Asiwe mkereketwa wa haki sawa
12. Mvumillivu, mwaminifu, msiri wa mambo ya ndani.
13. Asiwe mjuaji kupitiliza (much know) , yan akubali kujifunza kutoka kwa wengine pale inapotokea kakosea.
14. Ajue wajibu wake kama mke
Hayo ni mambo ya msingi sana kwangu, nipo serious naomba sana tuweke pembeni utani ,kashfa na kejeli, kama hauna kizur cha kupost ni jambo jema kukukaa kimya waheshimiwa. Mwenye uhitaji kama wangu tuwasiliane kwa private message (PM).