C.K
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 394
- 162
Kwa mwanamke anayetafuta mume, nicheck tufahamiane. Umri wangu late 30s, Mkristo, naishi Dodoma, so nikimpata aliye Dodoma pia itapendeza zaidi. Mimi ni mwajiriwa serikalini but pia nafanya mishe binafsi.
Sifa za mwanamke nayemtaka:-
1. Mkristo
2. Awe na shughuli inayomuingizia kipato
3. Awe mweupe (napenda rangi hiyo)
4. Asiwe bonge
5. Umri 20s (early, middle au late 20s sawa tu, not 30s)
6. Asiwe amezaa
Karibu sana kama utakuwa tayari... ni PM
Sifa za mwanamke nayemtaka:-
1. Mkristo
2. Awe na shughuli inayomuingizia kipato
3. Awe mweupe (napenda rangi hiyo)
4. Asiwe bonge
5. Umri 20s (early, middle au late 20s sawa tu, not 30s)
6. Asiwe amezaa
Karibu sana kama utakuwa tayari... ni PM