Asante Jehovah
New Member
- Jan 19, 2018
- 2
- 5
Hellow, najitokeza Kwa Mara ya kwanza kutafuta mke wa Kuoa.Kwajina naitwa Johnson mwenye Umri wa miaka 35,dini yangu ni mkristu (RC), rangi na muonekano wangu ni mweusi, urefu na unene niwa wastani, elimu yangu Nina shahada ya kwanza fani ya biashara.
Mke ni mtakaye awe na Umri kuanzia 24-28, Asiwe mlevi wa sigara wala pombe kupindukia. Sina ubaguzi wa dini , kabila, elimu, kazi, rangi wala muonekano wa mtu Bali nachojali awe amemaanisha kujenga familia kwa pande zote mbili.
Kwa atayekuwa tayari tuwasiliane kwa email yangu ya Jehovahnishindie@gmail.com, au ni pm tuyajenge na kufikia lengo la kuitwa wana ndoa. Kwa ataye kua anaishi mikoa hii (Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Rukwa, Katavi,) atapewa kipaumbele.
Nahitaji umakini kwa hili nipo serious utani sipendi kwani hakuna kanuni jinsi ya kumpata mke.
Mke ni mtakaye awe na Umri kuanzia 24-28, Asiwe mlevi wa sigara wala pombe kupindukia. Sina ubaguzi wa dini , kabila, elimu, kazi, rangi wala muonekano wa mtu Bali nachojali awe amemaanisha kujenga familia kwa pande zote mbili.
Kwa atayekuwa tayari tuwasiliane kwa email yangu ya Jehovahnishindie@gmail.com, au ni pm tuyajenge na kufikia lengo la kuitwa wana ndoa. Kwa ataye kua anaishi mikoa hii (Kigoma, Mwanza, Shinyanga, Rukwa, Katavi,) atapewa kipaumbele.
Nahitaji umakini kwa hili nipo serious utani sipendi kwani hakuna kanuni jinsi ya kumpata mke.