Ila unaonekana korofi au jeuri... Ha ha haNawaheshimu sana,ndo maana natafuta wa kukaa nae!!
Jas stress hazikwepeki ndugu yangHapana Niko simple sana kikubwa spendi stress maishani mwangu!
Hakuna ndoa isyokua na misukosuko muhimu nikuvumiliana na kuangalia je hili tatizo tutaweza kulimaliza wote wawili kama wanandoa? au kunahitajika nguvu ya ziada,as a man unatakiwa uwe mwenye msimamo na mamuzi ili nyumba yako isiyumbe...Tunapokezana mkuu,kikubwa sio kunizalia kikibwa sipendi ndoa za bugudha tukzinguana kila mtu anachukua time zake...
Najua hivo mujar,nmeona mengi sana kwenye ndoa,mi mamangu ni mlemavu kwa sababu ya Mzee,bro wangu kila Siku anajuta kuoa,dadangu Mme wake (shemeji)ni Mshikaji wangu sana tunakunywa wote,ilA umalaya anaoufanya mungu unajua,Jas stress hazikwepeki ndugu yang
Hapana mi sio mwislamu