Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Aaah!! Mbona naenjoy kuwa na hiyo midume yangu kwani hata spare tyre hubadilisha yenyewe, kuosha gari na kadhalika. Tatizo ni kuwa ukiangalia kwa mila za kiafrika yaani mie nitakuwa mtoaji tu wa mahari kwa hiyo midume yangu na sio mpokeaji. Na hata watoto wangu naona wanamiss sister kiasi kwamba iliwahi kufikia kutaka kumng'ang'ania mtoto wa jirani yetu mmoja kuwa aje kuishi kwangu kwa kuwa ni mpole na sababu za aina hiyo. Hata wao naamini kuwa siku wakijua kuwa wana sister watafurahi sana.
Nina mashaka na wewe. Ulikubalije wife afunge uzazi na wakati bado hujapata msichana??? Hebu acha kutuzuga hapa bwana fanya timing then mambo yatakuwa mswano