Natafuta mwanamke wa kunilea

Dr. Nsaji

Member
Aug 9, 2011
9
0
Natafuta Mwanamke wa kunilea kifedha na kimapenzi awe serious in love.Tuma private sms plz!
 
Natafuta Mwanamke wa kunilea kifedha na kimapenzi awe serious in love.Tuma private sms plz!
We katafute kazi huo ubabaishaji uwezi pata heshima kama mwanaume kwa maisha hayo unayoyataka. hakuna true love katika huo utaratibu unaoutaka. Pambana kijana huo ubabaishaji, kama hujakua rudi kwa wazaz wako wakakulee upya hadi uweze kusimama kivyako.
 
kwa ushauri.... nenda kaandike fesbuk ..utapata tu...wala usihofu
kwiiiikwiiiikwiiii
 
Natafuta Mwanamke wa kunilea kifedha na kimapenzi awe serious in love.Tuma private sms plz!

Bila shaka utakuwa msanii wa bongo fleva,maana mnapenda sana kubebwa,soon utakuwa shoga kwa kupenda vya bwerere.
 
Mwenye virus vya nchi gani?/Kuna vya uganda,Tanzania it is same,vya south africa,vya westafrica,vyote vinashindana makali vya tanzania vimepoa kabisa na uganda,Sehemu zilizobaki vina tabia yakukugeuza aiba nakuwa msomali,mwethiopia chaghua nikupe contact tuka ku R.I.P
***** wewe unatafuta umaryoo na virusi vyote hivi????
 
Natafuta Mwanamke wa kunilea kifedha na kimapenzi awe serious in love.Tuma private sms plz!
inaonekana unapenda starehe angalia kijana fanya kazi usije wakakupumlia kisogoni wengi wamiengia katika mchezo mchafu kwa ajili ya kupenda anasa wakati hawana uwezo
 
sasa kijana xikiliza km mijihera hapa umefika we c unapenda starehe na kulelewa me ntakupa ofa ila kuna kitu k1 2 kwa ntakupa contact alafu iyo cku utatakiwa uvae suruali zip iwe nyuma au uvae nsuri me napatika@pemba,chanja njawili.
 
Natafuta Mwanamke wa kunilea kifedha na kimapenzi awe serious in love.Tuma private sms plz!
Mama ako alivyokulea haijatosha? Shame on you! Tuache kulea wanetu tukulee wewe? Fanya kazi kijana, acha kupenda vya bwerere! Vya bure vinaua yakhe!
 
Natafuta Mwanamke wa kunilea kifedha na kimapenzi awe serious in love.Tuma private sms plz!
Hauwezi kuwa serious, yaani demu akulee kwa fedha na penzi! Mimi nijuavyo akina mam wengi huwatumia vijana kama sex machine tu tena ukibahatika ndiyo utapewa visenti! Lakini taabu yote ya nini kwani wewe ni mlemavu au ni uvivu wa kufanya kazi tu?
 
Upo sahihi kabisa mama yangu, hii ndiyo midume iliyoimbwa na JD!
Sante! Hana hata aibu, kijana mzima mungu kamjalia macho, mikono, na miguu anataka alelewe! Wameshindwa kumlea walomzaa, anataka alelewe na wamama wa wenzie, khaaa! Aende huko kwa waarabu atapata wa kumlea!..
 
Mama ako alivyokulea haijatosha? Shame on you! Tuache kulea wanetu tukulee wewe? Fanya kazi kijana, acha kupenda vya bwerere! Vya bure vinaua yakhe!

heee! Vibaya hvyo. Hebu mwelekeze mpwapwa aje nimlee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom