Natafuta mwanamke mwenye mapenzi ya dhati

Screenshot_20230428-025517~2.png
 
Mimi ni kijana kitanzania ninatafuta mwanamke mwembamba mrefu ili awe mpenzi wangu kwa malengo baadaaye awe mke wangu . Mimi nimesoma mpaka level ya Master's Degree na nimeajiriwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania . Ninaishi Dar es salaam. Kwa aliye tayari 0713153696 sibagui Dini wala kabila mkuje warembo wa dini na makabila yooote . Karibuni saaana wapendwa wangu .
Ndiyo unakuja hapa JamiiForum kweli, hongera mkuu na good luck.
 
Mimi ni kijana kitanzania ninatafuta mwanamke mwembamba mrefu ili awe mpenzi wangu kwa malengo baadaaye awe mke wangu . Mimi nimesoma mpaka level ya Master's Degree na nimeajiriwa na Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania . Ninaishi Dar es salaam. Kwa aliye tayari 0713153696 sibagui Dini wala kabila mkuje warembo wa dini na makabila yooote . Karibuni saaana wapendwa wangu .
Ikiwezekana pata wa dini yako na pata wa kabila lako
Kisa lingine ulilofanya hapa ni kuweka wazi kwamba unatafuta kwa ajili ya ndoa! From experience hilo si jambo jema atakuja direct kwa ajili ya ndoa na si mapenzi ama makucha yake atayaficha yote ili aolewe na baada ya ndoa, baada ya kipindi fulani akiyakunjua makucha hakuna rangi hutakaa uone
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom