Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
<br />
Nakuelewa Mzee, ila ninahitaji wa kumwekea determination ili ikiwezekana awe mke baadae. Nahitimu barchelor ya kwanza mwakani.
mshawa wo kii?....kila la kheri......
o ondo,uore mafura
kaka yako anazingua mara form 4, mara digrii
yaani jamaa hata haeleweki mkuu.................kachanganya mafile<br />
<br />
unapokuwa mwongo jitahidi kuwa na kumbukumbu. Mwanzoni ulisema Elimu yako ni ya form 4, ghafla unasema mwakani unamaliza digrii. Kuwa makini mkuu.
Utawowa na darasa la saba...
Kuna uhusiano gani kati yako Mshawa na Mangimeli? Post moja unamtaka machame na hii marangu! Ngachoka choki.
Mambo mengi mie ndio natafuta mkuuEee le womi le!!siku hizi bora kuoa darasa la saba,hawana mambo mengi hamna strees
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
<br />
Nakuelewa Mzee, ila ninahitaji wa kumwekea determination ili ikiwezekana awe mke baadae. Nahitimu barchelor ya kwanza mwakani.
ngilekusara nyi mshawa ulya ungi.....
duh....kaka kweli noma.....