Habari wakuu,
Mimi ni mwanaume, nina miaka 37, nina watoto wawili, niliwapata katika mizunguko ya maisha, ninaishi nao.
Nilipanga kuwa na watoto wawili tu katika maisha yangu.
Kwa sababu hii ninapenda kuwakaribisha wale wote ambao kwa sababu moja ama nyingine hawana uwezo wa kuzaa ili tulee watoto hawa ambao watakuwa watoto wake pia.
Najua wapo hata walioachwa kwa sababu ya kushindwa kuzaa, nawakaribisha sana.
Na wale waliofanyiwa vipimo vikaonyesha hawana uwezo wa kuzaa nawakaribisha pia, hii ni fursa yako ya kufurahia maisha kama mwanamke japo huna uwezo wa kupata mtoto.-
Niko serious, ambaye ana sifa hiyo kuu naomba aniandikie private message kupitia JF ili tufahamiane vizuri.
Asanteni sana na karibuni.
Mimi ni mwanaume, nina miaka 37, nina watoto wawili, niliwapata katika mizunguko ya maisha, ninaishi nao.
Nilipanga kuwa na watoto wawili tu katika maisha yangu.
Kwa sababu hii ninapenda kuwakaribisha wale wote ambao kwa sababu moja ama nyingine hawana uwezo wa kuzaa ili tulee watoto hawa ambao watakuwa watoto wake pia.
Najua wapo hata walioachwa kwa sababu ya kushindwa kuzaa, nawakaribisha sana.
Na wale waliofanyiwa vipimo vikaonyesha hawana uwezo wa kuzaa nawakaribisha pia, hii ni fursa yako ya kufurahia maisha kama mwanamke japo huna uwezo wa kupata mtoto.-
Niko serious, ambaye ana sifa hiyo kuu naomba aniandikie private message kupitia JF ili tufahamiane vizuri.
Asanteni sana na karibuni.