Adolph Jr
JF-Expert Member
- Nov 5, 2016
- 5,552
- 8,625
Kichwa cha habari kimejieleza vizuri....
Mimi ni kijana umri miaka 31 natafuta mwanamke wa kuishi na kuzaa naye umri kuanzi 18-31y ....awe anajielewa na kujitambua...asiwe na mahusiano na mwanaume mwingine...itakuwa poa kama hatokuwa na mtoto wa mwanaume mwingine na kama anao wasizidi wawili...
Imani..dhehebu ama dini yeyote sibagui..
Unaruhusiwa kuuliza kuhusu swali lolote (more details) kunihusu....karibu...
...
Mimi ni kijana umri miaka 31 natafuta mwanamke wa kuishi na kuzaa naye umri kuanzi 18-31y ....awe anajielewa na kujitambua...asiwe na mahusiano na mwanaume mwingine...itakuwa poa kama hatokuwa na mtoto wa mwanaume mwingine na kama anao wasizidi wawili...
Imani..dhehebu ama dini yeyote sibagui..
Unaruhusiwa kuuliza kuhusu swali lolote (more details) kunihusu....karibu...
...