jamani mi natafuta mwanasaikologia wa kunisaidia kuondokana na woga kwani nina tatizo hilo hadi nashindwa kabisa kuongea mbele ya watu,,,,hivyo nimeshauriwa na rafiki zangu nitafute mwanasaikolojia kwani tatizo langu litaweza kupungua na hadi kuisha kabisa, hivyo naomba mnielekeze kwa hao wanasaikolojia wanaopatikana jijini dar kwani nitakuwa huko mwezi huu mungu akijalia uzima. asanteni