Natafuta mwalimu mzuri wa Swahili

Kwa andiko lako hapa inaonyesha huhitaji mwalimu wa kukufundisha lugha ya Kiswahili... mtiririko wa uwasilishaji wako umekaa vizuri sana!... Epuka tu kuchanganya maneno ya kiingeleza kwenye wasilisho la kiswahili kama ulivyofanya.

Badala ya kutafuta mwalimu wa kukufundisha Kiswahili kizuri, tumia vema hili jukwaa ukichangia mada zinazoibuliwa humu huku ukijichanganya mtaani kwa kuongea na watu kwa kiswahili. Zaidi ya hayo ni kukukaribisha katika uringo wa wanaJF.
Nashukuru sana.
Wewe ni mtanzania mungana sana.
God bless you.
Actually, naweza andika kiswahili Ila kukisema inanipa tabu kidogo.

Anyway, nimesha Fanya communication na uncle from Nairobi. This week nitapata tutor Mkenya.
 
Mbona kama unatuchora mwanagenzi, maana kama uwezo wako wa kuandika Ni 97% huhitaji Mwl bali kaa sana kwenye mabaraza ya kahawa na maskani, uweze kupata mazoezi ya kutosha katika mdahalo.

Sasa tuma dola 200 tu kwa ushauri na dongo hapo juu.
Asante sana.
 
Mtanzania gani anayetaka mwalimu wa kumfundisha kiswahili cha kuongea wkt ukijichanganya uswahilini wiki tu unaongea kama kasuku! Tatizo ww Mhaya unakaa Oysterbay badala ya Manzese, Mbagala, Tandika n.k na una girlfriend Myahudi, unaacha ku.date na kina Koku ,Asha, Maimuna, Joyce n.k wangekufunza lugha.
It is not my faulty. Nimekaa sana nje. I can write well in Swahili ila jaribio kubwa kwangu ni kusema kiswahili.
 
Mbona unaandika kiswahili vizuri kuliko hata tuliopo bongo miaka yote, hata humu jf kuna watu ambao wewe unafaa kuwa mwalimu wao wa kuandika kiswahili.
 
Nashukuru sana.
Wewe ni mtanzania mungana sana.
God bless you.
Actually, naweza andika kiswahili Ila kukisema inanipa tabu kidogo.

Anyway, nimesha Fanya communication na uncle from Nairobi. This week nitapata tutor Mkenya.
Duh, safi sana. Wabongo wazembe sana kwenye kuchangamkia fursa. Huyo mkenya hatafanya makosa, Nina uhakika lazima upate mimba ndani ya mwezi tu!!
 
Hi everyone in here,
Naitwa Junior Ruta, nimejoin forum hii just yesterday nimefurahishwa na baadhi ya members wa humu wanaongea lugha nzuri sana...although sijakijua Swahili vizuri sana ila nimepata tabasamu sana.

Mimi ni fellow Tanzanian sema nimekaa muda mrefu sana nchi za watu. I've stayed in the UK For almost 16 years. Nimeenda nje nikiwa na miaka mitano tu baada ya kuhitimu nursery pale International School of Tanganyika.

Please...nahitaji private teacher wa kunifundisha evening classes namna ya kuzungumza Swahili. Napenda sana hii lugha kuisema kwa usanifu.

Naomba awe ana makazi yake Dar..meals and accommodation ni juu yangu. Nitaanza kumlipia USD 1000 per month...nikizidi kufanya vizuri nitaenda naongeza dau.

Napenda sana socialization...kama kuna member ana makazi hapa Oysterbay tafadhali kuwa rafiki yangu.

Mimi ni young male of just 20 years. Sijaoa ila Nina girlfriend myahudi anaitwa Linda. I met her chuoni Oxford.

Thank you my fellow Tanzanian...

Usiku mwanana nawatakieni.

Jambo Tanzania.
Iwee maspoota
 
Unaposema kiingereza,kirusi,kiswahili,kifaransa....inakuwa umezitaja hizo lugha kwa lugha ya kiswahili. Swahili ameitaja lugha ya kiswahili kwa kiingereza. Kila lugha ina namna yake ya kutaja lugha nyengine.
Lol my unanidanganyi...

Kwa hiyo neno kiswahili kwa kiingereza ni swahili???


Nenda google.Jaribu kubadili lugha.Utapewa options ni English and Kiswahili..
 
Maneno ya mzizi ni swahili ndipo ikazaliwa ki- swahili (kiswahili),pia ikazakiwa vi- swahili (viswahili)..

Mfano, Lugha yenyewe ni inglish au inglezia kwa kiarabu (English) , ili itamkwe vizuri katika kiswahili inabidi mwanzoni uweke kiambishi "ki" na hivyo inasomeka kiinglezia (kiingereza)., hapo sasa utaona ukimwambia muingereza kwamba lugha yao inaitwa kiingereza hawezi kukuelewa labda awe kisha fundishwa kwamba in swahili kiingereza means English language.

Swahili language ni lugha ya swahili ila ukiweka "ki" inafanya matamshi yapendeze tu, na ndiyo maana kuna viswahili na kiswahili na maneno hayo kila moja lina maana yake msingi ukiwa ni neno swahili ambayo ndiyo lugha yenyewe.

Usipoelewa hapo basi.
Kwa hiyo kirusi inatakuwa iwe rusi????loh
 
Unaposema kiingereza,kirusi,kiswahili,kifaransa....inakuwa umezitaja hizo lugha kwa lugha ya kiswahili. Swahili ameitaja lugha ya kiswahili kwa kiingereza. Kila lugha ina namna yake ya kutaja lugha nyengine.
You’re very correct and they are BIGLY wrong!
 
Back
Top Bottom