Mimi Nina uzoefu wa kuwekeza kwenye hizi mashine za kukatia mbao na nimekuwa nikifanya kazi hii kwa muda kidogo na vijana wangu Ila mwaka Jana mwishoni nilipata matatzo ya kifamilia ya ghafla na kupelekwa kuuza mashine yangu.
Lakini toka mwaka huu uanze nimekuwa nikipokea oda za mbao Ila mashine Sina na vijana wangu wanalia kazi n nying hvyo ningepata mashine nipo tayar kuingia ubia wa kugawana faida na kurudisha mtaji wa mashine hyo kwa muda mfupi Sana.
Nadhani nimeeleweka Ila pasipo uelewa nipo tayar kuulizwa wadau.
Lakini toka mwaka huu uanze nimekuwa nikipokea oda za mbao Ila mashine Sina na vijana wangu wanalia kazi n nying hvyo ningepata mashine nipo tayar kuingia ubia wa kugawana faida na kurudisha mtaji wa mashine hyo kwa muda mfupi Sana.
Nadhani nimeeleweka Ila pasipo uelewa nipo tayar kuulizwa wadau.