Natafuta mume

Habari zenu JF users,

Mimi ni mwanamke miaka 33, ni mkristo. Niko hapa jukwaani kutafuta mwanaume mwenye kujitambua.

Itapendeza umri kuanzia miaka 33, awe mkristo na mwenye hofu ya Mungu.
Akiwa na mtoto/watoto wasizidi wawili.
Awe mkweli.
Awe anatambua nafasi yake.

Mwenye uhitaji karibu inbox

WATOTO WANGU WAKIWA WATATU WATALETA ATHARI GANI?

TUANZIE HAPO KABLA SIJALETA MAHARI KWENU.
 
Naona ameingia mitini.Inaonekana ulikuwa una test mitambo uone mwitikio utakuwaje.
Ongeza ongeza nyama katika maelezo yako ueleweke vizuri na ujibu maswali uliyoulizwa.
 
 
Habari zenu JF users,

Mimi ni mwanamke miaka 33, ni mkristo. Niko hapa jukwaani kutafuta mwanaume mwenye kujitambua.

Itapendeza umri kuanzia miaka 33, awe mkristo na mwenye hofu ya Mungu.
Akiwa na mtoto/watoto wasizidi wawili.
Awe mkweli.
Awe anatambua nafasi yake.

Mwenye uhitaji karibu inbox
njoo inbox unipe namba kwanza alafu mambo mengine yatafuata
 
Milleage ushatembea km ngapi , i mwana ushatembea na wangapi una mtoto ,
 
Habari zenu JF users,

Mimi ni mwanamke miaka 33, ni mkristo. Niko hapa jukwaani kutafuta mwanaume mwenye kujitambua.

Itapendeza umri kuanzia miaka 33, awe mkristo na mwenye hofu ya Mungu.
Akiwa na mtoto/watoto wasizidi wawili.
Awe mkweli.
Awe anatambua nafasi yake.

Mwenye uhitaji karibu inbox
Lugha laini ungesema "nahitaji"
Hii kutafuta ni kazi na vitu vingine, kuwa romantic Lily
 
Miaka 33 na masharti hayo yote juu, wakati kuna walio malza vyuo miaka 23 hadi 25 hawana masharti yoyote
Thamani ya mtu haiko katika miaka.
Kuhisi kuwa 20th ndio wanathamani zaidi ni mtazamo hasi na duni.
Hata angekuwa 50s still bado anatamani kilicho bora kwake...tubadilike
 
Habari zenu JF users,

Mimi ni mwanamke miaka 33, ni mkristo. Niko hapa jukwaani kutafuta mwanaume mwenye kujitambua.

Itapendeza umri kuanzia miaka 33, awe mkristo na mwenye hofu ya Mungu.
Akiwa na mtoto/watoto wasizidi wawili.
Awe mkweli.
Awe anatambua nafasi yake.

Mwenye uhitaji karibu inbox
nisingependa ku generalize lakini, experience yangu na wanawake karibia wanane waliokuwa wakitafuta wapenzi humu jf ni kwamba, WOTE WANA SURA NA MAUMBO MABAYA!!
sorry!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom