Edsger wybe Dijkstra
JF-Expert Member
- Aug 22, 2019
- 240
- 463
my dear sis, tukubali tukatae kuna standards za uzuri zilizowekwa na jamii ambazo ndizo zinatumika ku judge.kujifanya una huruma au una ubinadamu sana hakuondoi hy fact,kwamba kuna watu ni wazur, wengine wa kawaida na wengine ni wabyaaaaa!ngoja niupload picha yangu af unambie kama mm ni mzuri!!Uzuri wa mtu uko machoni kwa mtu kwako mbaya kwa wenzako mzuri,in short usichokitaka wengine wanakithamini.How will you feel mtoto wako wa kike akiwa disvalued kama hivyo.Malipo hapa hapa duniani mkuu