Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenzio kachoka upwekeAiseeeeeeeee hii balaa sasa
Unastahili sana kupata tulizo la nafsiJmn mh nn mbona mnaguna au sistahili kupta mwenza
MWENYEZI Mungu akupe haja ya Moyo wako.Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.
Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.
Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
Mdada.. Umeajiliwa tayariMimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.
Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.
Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.
Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.
Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
Wakija huko pm waambie siku ya kwanza kukutana utampima ngoma,hapo ndio utajua humu jf kulivyo
Mdada.. Umeajiliwa tayari
Napenda sana manesi ila mm mda bado kwakweli. Kila lakheri