Natafuta mume

Safi Sana Mi nadhani njia hii ni nzuri mtu unaelewa kabisa naingia kwenye mahusiano ya aina gani. Zile date za kufukuzana gizani na kwenye simu unamganda mtu ambaye hujui ana malengo gani na wewe!
Mungu akuongoze dada
 
Mimi niko tayari nitafute kwenye pm tuelewane, tafadhali usinihangushe
 
Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.

Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.

Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
MWENYEZI Mungu akupe haja ya Moyo wako.
Ukaione Bright future
Na kuzishinda changamoto za ndoa.
Uvumilivu,Kuchukuliana,Kuheshimiana na kubeba majukumu ya kifamilia.
 
Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.

Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.

Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.
Mdada.. Umeajiliwa tayari
 
Mimi ni binti wamiaka 24, elimu yangu ni diploma ya nursing nimejitokeza kwenu wanajamii, nilikuwa natafuta mume alieko siriaz na ndoa nasio kuumizana, sichagui dini lakini awe anajishughulisha na shughuli yoyte yabkumuingzia kipato pia anizidi umri kuanzia miaka 25 kuendelea.

Alieko tiyari naomba uje pm tuzungumze.

Note; Utani siitaji kwasababu nipo siriaz zaidi mnavyofikiria sababu niko siriaz sana.

ulikuwa unatafuta? kwa hiyo saizi hutafuti tena?

by the way kama bado unatafta niko hapa nina project flani ya profession yako ko utanifaa sana.
 

Similar Discussions

17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom