Natafuta mume wa kunioa

Mwenyezi Mungu akuongoze upate mume mumeo.Ni yeye tu ndie atakaekupa ubavu wako akuongoze kwani hapa JF watu wanaolewa na kuoa na wapo kwenye ndoa mpaka-sasa,JF kuna wateja wa milembe na wateja wa shikuba so wapuuze....
 
Dah sifa zote ninazo ila kigezo cha dini kimenitoa nje ya ulingo.
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

nimemuoa masai dada lakini bado sina mtoto nae! vp can i fit? plz nijibu!
 
Last edited by a moderator:
Mwenyezi Mungu akuongoze upate mume mumeo.Ni yeye tu ndie atakaekupa ubavu wako akuongoze kwani hapa JF watu wanaolewa na kuoa na wapo kwenye ndoa mpaka-sasa,JF kuna wateja wa milembe na wateja wa shikuba so wapuuze....


Nashukuru Mkuu
 
SIFA ZA MWANAUME


  • Awe hajawahi kuoa na asiwe na mtoto
  • Asiwe mnywaji pombe wala mvuta sigara
  • Mrefu na mwenye umbo la wastani(si mnene wala mwembamba)
  • Elimu kuanzia degree na kuendelea
  • Awe ameajiriwa katika kampuni inayoeleweka au serikalini
  • Awe mkristo, akiwa wa KKKT itafaa zaidi
  • Asiwe bahili na asiwe Malaya
  • Umri 34-40

SIFA ZANGU
  • Sijawahi kuolewa na wala sina mtoto
  • Sinywi wala sivuti
  • Urefu kimo cha kike
  • Elimu Masters degree
  • Mkristo
  • Rangi mweupe wa wastani

Mi nina nia ya dhati, lakini sina sifa hata moja kati ya hizo ulizozitaja hapo juu...........Nimesikitika sana, nimehuzunishwa sana na kusoneneshwa sana na kukosa sifa......Poor me!
 
Miaka 30 na bado unaweka masharti magumu namna hiyo??
Hawa early 20's watasemaje???

Najua value yangu Mkuu.Na kwa mwanaume mwenye uelewa mpana ataangalia vigezo vya mwanamke zaidi ya umri.Nimetumia lugha nyepesi ili nisikukwaze.Ukiisoma vizuri utajua na maanisha nini.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom