Natafuta mume wa kunioa

Watu wengi mnauliza Baba mtoto yupo wapi,

badala ya kumuuliza mtoa mada,

mwanaume aliyesababisha akaachwa na Baba mtoto wake yupo wapi kwa sasa?

Huyo ndy mdudu sumu wa kuogopa na sio Baba mtoto.
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
kila laheri
 
Kuhitaji mume ni jambo jema kabisa, ila namna unayotumia kumpata huyo mume ni UPUMBAVU...
Kama huna mtu wakukushauri kuhusu hilo I would like to volunteer...
 
Wengi huwa wabinafsi, Kama hapo anaposema uwapende ndugu zake Hilo tayari ni tatizo,
Ndio namshangaa hapo

Niwapende ndugu zako nina mkataba gani na ndugu zako ?

Wao watanipenda ?

Sema basi "ndugu zangu watakupenda na kukuheshimu na kuheshimu ndoa na hawataiingilia ndoa."

Niwapende ndugu zako, nawajua ndugu zako mitabia yao?
 
Ndio namshangaa hapo

Niwapende ndugu zako nina mkataba gani na ndugu zako ?

Wao watanipenda ?

Sema basi "ndugu zangu watakupenda na kukuheshimu na kuheshimu ndoa na hawataiingilia ndoa."

Niwapende ndugu zako, nawajua ndugu zako mitabia yao?
Anataka uanze kuwasomesha, kuwalisha, kuwanunulia nguo etc dooooh
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
Nipo tayari njoo tuyajenge
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
unaonekana kua mke bora kwa maelezo ya awali nisijue undani
 
Mimi nina umri miaka 28 Nina elimu ya chuo kikuu pia nafanya kazi katik kampuni Fulani Dar Nina mtoto Mmoja kiukweli nahitaji mume wa kunioa naumia sana kuishi maisha ya usingle, nipo serious na maisha kwasababu nimepitia vingi na kujifunza mengi. Nahitaji mtu pia aliye serious katik kutafuta maisha na kujenga familia iliyo bora.

Sifa
Asiwe mlevi Wala mvuta sigara
Wenye hofu ya Mungu
Wenye upendo heshima na apende ndugu zake na wangu
Mpambanaji mpenda maendeleo na ushirikiano
Akiwa na mtoto au watoto sawa Mimi ni mama napenda watoto, watoto ni Baraka.
Wenye kusamehe muelewa pia

Nikimpata naahidi kumpenda na kumuheshimu kiufupi ata enjoy tutajenga familia iliyobora
awe na kazi au hata jobless nikupe jina saizi u mcheck IG
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom