Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,469
- 17,578
Chura ipo?
Haraka yann soma taratibuMkuu kuna kitu siajelewa hapo kwenye kichwa cha habari unaitaji mme
Kwenye maelekezo mwishoni unaitaji mke
Nieleweshe nije tuyajenge kiutu uzima
Acha umalaya wewe una mke unataka kuchovyia tuuJua lishazama mama. Halafu ni pm picha nione umbo sura ficha
Hujui kusoma nini mzee....umeshafail hata kuwa mume...mume gani haelewiMkuu kuna kitu siajelewa hapo kwenye kichwa cha habari unaitaji mme
Kwenye maelekezo mwishoni unaitaji mke
Nieleweshe nije tuyajenge kiutu uzima
njoo tuyajengeHabari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa ni Kanda ya Ziwa
Mwanaume ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe na umri miaka 38 -45
Awe serious anahitaji mke
Kama ana mtoto ni vizuri zaidi
Mhhhhhhhhh majangaUngetafuta kimarioo ukilee, kikileta dharau unatandika vibao, unakatupia nguo nje unavuta kengine,
Nimesema hivyo sababu unasema upweke tu ndio unakusumbua, kwa umri huo wengi washaoa utaanza kusumbuana na wake zao, ukose amani ya nafsi au hiyo mibaba iliyokomaa ije ikufilisi tu bure.
Niko tayari. Kwanza pelekeni mtoto kwa baba yake. Alafu njoo tuzungumzee. Mimi aitaji mwanamke wakunizalia watoto. TutazungumzaHabari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa ni Kanda ya Ziwa
Mwanaume ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe na umri miaka 38 -45
Awe serious anahitaji mke
Kama ana mtoto ni vizuri zaidi
Khaaa hutak kukaa na mtoto wa kambo? Roho mbaya hiyo ujueNiko tayari. Kwanza pelekeni mtoto kwa baba yake. Alafu njoo tuzungumzee. Mimi aitaji mwanamke wakunizalia watoto. Tutazungumza
Uzi huo alioufungua ni Mshana Jr, tafuta kwenye nyuzi zake utaukutaMkuu naomba huu uzi unaoelezea hii kinga