6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Hapo Kama Ana mtoto umetumia akili, Bora mechi ianze drawHabari za wikiend wana Jf.
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza. Mimi nina sifa zifuatazo.
Umri -35
Nina mtoto 1 wa miaka 5
Nimeajiliwa serikalini
Dini yangu mkristo
Mahali ninapoishi kwa sasa ni Kanda ya Ziwa
Mwanaume ninayemhitaji awe na sifa zifuatazo
Awe na umri miaka 38 -45
Awe serious anahitaji mke
Kama ana mtoto ni vizuri zaidi