Natafuta mume wa kunioa awe Muislam

Sio kweli haupo makini kwa hili naona upo kiutani zaidi kwani Mume na mke bora hapatikani kwenye if fb yahoo na twitter.Zunguka tembea ipo siku utakutana uso kwa uso na unaemtafuta,na Inshallah kwa uwezo wa Allah huyo ndio atakuwa mume bora,
 
Sio kweli haupo makini kwa hili naona upo kiutani zaidi kwani Mume na mke bora hapatikani kwenye if fb yahoo na twitter.Zunguka tembea ipo siku utakutana uso kwa uso na unaemtafuta,na Inshallah kwa uwezo wa Allah huyo ndio atakuwa mume bora,

Naamini kwamba watu waweza kutana popote wakapendana na hata kuoana. Thank u though
 
Sio kweli haupo makini kwa hili naona upo kiutani zaidi kwani Mume na mke bora hapatikani kwenye if fb yahoo na twitter.Zunguka tembea ipo siku utakutana uso kwa uso na unaemtafuta,na Inshallah kwa uwezo wa Allah huyo ndio atakuwa mume bora,

Acha imani mbovu juu ya hili wapo waliopata wake waume wema kupitia social nets so ucmkatishe tamaa
 
Dont give up Allah atasaidia utampata tu hw wanaoleta maneno mbovu ucwamind achana nao
 
Dada utapata wa kukuoa haijalishi ni wapi but hakika utapata. Naweza kukupa stori ya maisha yangu, It is so powerful and inspiring indeed. Ukitaka unaweza nitafuta kwa email yangu tarakilishi@hotmail.com. Mi nimeshaoa but i can share with you my experience. I married a woman who is older than me for 8 years!
 
U'positive unakutisha vp mkuu? It's just a name na kiukweli huwa sipanick in whatever situation, naamini ku'deal na issue zote kwa utulivu and mostly nipo na positive mind when comes to dealing wth any situation

I like your determination, wish you all the best in fulfilling ur dream.
 
Habari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.

Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye tayari kusettle na kujenga maisha pamoja
4. Mwenye kujua thamani ya mwanamke, na mwenye heshima kwa wanawake
5. Awe anajishughulisha kujiingizia kipato
6. Umri 30-40

NB: nipo serious kwa aliye tayari pls pm me for other details including my history, naomba jokes pembeni guys maana mnaweza kunikatisha tamaa pls.

Alive tayari tuwasiliane kwa mndele85@gmail.com
every conversation will b strictly confidential.

Asanteni.

Mimi nina wake watatu uko tayari kuwa nne?
 
Sifa ulizozitaja zote nnazo tatizo ni moja tu siko tayari kuoa...maybe uniconvince ni pm kisha nishawishi nikikubali Ntakuoa.
 
Habari za humu wapendwa.
Ni mwanamke mwenye 30yrs, nina degree ya kwanza na nimeajiriwa naishi dsm, mwili size ya kati. Natafuta mwanaume ambaye M'Mungu akijaalia awe mume wangu.

Sifa za mwanaume:-
1. Awe Muislam, mwenye hofu ya Mungu
2. Kabila lolote
3. Mwenye kujitambua na aliye tayari kusettle na kujenga maisha pamoja
4. Mwenye kujua thamani ya mwanamke, na mwenye heshima kwa wanawake
5. Awe anajishughulisha kujiingizia kipato
6. Umri 30-40

NB: nipo serious kwa aliye tayari pls pm me for other details including my history, naomba jokes pembeni guys maana mnaweza kunikatisha tamaa pls.

Alive tayari tuwasiliane kwa mndele85@gmail.com
every conversation will b strictly confidential.

Asanteni.

Fuatilia hii link mama

https://www.jamiiforums.com/love-co...anaejifaham-yy-ni-nan-ktk-maisha-ya-sasa.html
 
Dadaa!nimeiona hii post yako,ukwel kabisa mimi pia nna shida saana mke..ila tatz humu jf wengi wanaleta saana wanatufanya wote tuonekane km atupo siriaz.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom