Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
Nawe pia.Kaka D...asubuhi njema.
Kwanini lakini mnabadili ID hadi tusiwajue ilihali nyie mnajua huyu fulani.
Haya tunamwachia Mungu.
Nawe pia.Kaka D...asubuhi njema.
Nawe pia.
Kwanini lakini mnabadili ID hadi tusiwajue ilihali nyie mnajua huyu fulani.
Haya tunamwachia Mungu.
Ningechangamkia fursa ila ndiyo hivyo tena status hairuhusu.kwahio mi nimebadili ID?? Kwahio unahisi nakujua zaidi ya hapa au we ndo unanijua? Lakini kwanini? , changamkia fursa hapo kwa toto la Kagame.
1stMay.Ningechangamkia fursa ila ndiyo hivyo tena status hairuhusu.
Wewe ni nani?
Hapana.1stMay.
Hapana.
Kwa taarifa zako ukiona Id hasa ya mdada haina uzi hata mmoja. Au inatafuta mpenzi n.kBasi mi Daby. Maana hutaki niwe 1stMay.
Kwa taarifa zako ukiona Id hasa ya mdada haina uzi hata mmoja. Au inatafuta mpenzi n.k
Jua asilimia 99 ni ID mbadala. chukua hii siri.
I second you.Mbn inajulikana. Unajua kwanini? People are too good into judging!! Take a good example in this scenario. Mtu kaweka bandiko lake, kaweka sifa zake na kaweka na qualification za future husband wake, lakini ona anavorushiwa mawe! Nani atakuwa na guts za kujionesha hivi? Mi mwenyewe ningekuwa na uhitaji wa mtu ningetumia hii njia.
I second you.
Back to the topic: Who are you sweetheart?
Basi rafiki, nisije nikapoteza dodo hivi hiviUnaharibu sasa
Achana na huyo mmasai anaringa na ng'ombe zakeBasi rafiki, nisije nikapoteza dodo hivi hivi
Teh!Tuheshimiane please mimi ni mbaba wa shoka kabisa na waweza kuwa mke wangu wa pili siku za usoni
njoo pmNimeona kejeli na matusi vimetawala, ahsanteni na nisamehe we, labda hii hairuhusiwi Jf.
JamiiForums naomba hii post ifutwe.
Hahahaa!Achana na huyo mmasai anaringa na ng'ombe zake