Natafuta mume mwema

chefu

Member
Oct 28, 2014
23
7
Habari wana JF,Mimi ni mwanamke mkristo,mwenye umri wa miaka 33, ninaishi moshi lkn ni mtu wa nyanda za juu kusini,Nina watoto 2.Natafuta mchumba ambae Mungu akipenda tutakuwa mume na mke,awe na umri kuanzia miaka 35 na kuendelea,awe mwadventista msabato,mwenye hofu ya Mungu. Akiwa na watoto itakuwa vema,otherwise nyote mnakaribishwa pm.
 
Funguka tukusome vizuri, hao watoto wawili iko vipi mdogo anaumri gani je wote ni wa baba mmoja?
 
pole sana dada umetumia usichana wako vibaya sana, umekuwa mtumba hutopata mchumba kwa watoto hao kwani wanaume siku hizi ni wajanja sana.
Ushur wangu afta kibabukimoja ukie tuu
 
mimi muadventista pure, hebu ni PM namba yako kabisa na hapa sitanii hata kidogo naoa live
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom