Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Habarini .....
Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M.
Chumba na choo chake (Master)
Sebule (Living room)
Public toilet
Kitchen( jiko)
Eneo ni Bagamoyo kata ya Zinga jirani sana na barabara ya bagamoyo.
Atalipwa nusu baada ya kumaliza kazi atamaliziwa nusu.
Karibuni sana.
NB: nataka kuoa sasa maisha ya kulipa kodi wallah sitoyaweza kabisa.
Natafuta wale watu wa makampuni ya ujenzi wanijengee nyumba yenye sifa zifuatavyo kwa budget ya Tsh 7M.
Chumba na choo chake (Master)
Sebule (Living room)
Public toilet
Kitchen( jiko)
Eneo ni Bagamoyo kata ya Zinga jirani sana na barabara ya bagamoyo.
Atalipwa nusu baada ya kumaliza kazi atamaliziwa nusu.
Karibuni sana.
NB: nataka kuoa sasa maisha ya kulipa kodi wallah sitoyaweza kabisa.