Natafuta mtu wa kufungua nae maabara ya physics, chemistry na biology.

Wanu

JF-Expert Member
Sep 26, 2013
353
223
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta mtu wa kufungua nae maabara kwa ajiri ya tution ya vijana wa secondary ngazi zote, sifa ya mtu huyo awe ni mwalim mwenye ujuzi na issue hizo, au mtu yoyote atakae kuwa na uelewa na issue hizo, location ya maabara tutajadili nae kulingana na demand ya soko, pia sijafanya usajiri wa aina yoyote hivyo biashara tutasajiri pamoja.
 
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta mtu wa kufungua nae maabara kwa ajiri ya tution ya vijana wa secondary ngazi zote, sifa ya mtu huyo awe ni mwalim mwenye ujuzi na issue hizo, au mtu yoyote atakae kuwa na uelewa na issue hizo, location ya maabara tutajadili nae kulingana na demand ya soko, pia sijafanya usajiri wa aina yoyote hivyo biashara tutasajiri pamoja.
Tatizo kubwa ni gharama za vifaa vya maabara, kemikali na ofisi. Ingekuwa enzi za Kikwete, ningeiba baadhi ya vifaa kutoka shule hata 5 za kata na kemikali ingetosha kwa kuanzia ila kwa sasa - majanga
 
Tatizo kubwa ni gharama za vifaa vya maabara, kemikali na ofisi. Ingekuwa enzi za Kikwete, ningeiba baadhi ya vifaa kutoka shule hata 5 za kata na kemikali ingetosha kwa kuanzia ila kwa sasa - majanga
Vifaa vyote nimeshanunua glassware na vingine vyote hapo issue ni office na expert wa kuendesha
 
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta mtu wa kufungua nae maabara kwa ajiri ya tution ya vijana wa secondary ngazi zote, sifa ya mtu huyo awe ni mwalim mwenye ujuzi na issue hizo, au mtu yoyote atakae kuwa na uelewa na issue hizo, location ya maabara tutajadili nae kulingana na demand ya soko, pia sijafanya usajiri wa aina yoyote hivyo biashara tutasajiri pamoja.
 
Mimi sio mjuzi wa mambo hayo Ila Nina nia ya kufungua kwa kuchangia mtaji je naweza join?
 
Husikeni na kichwa cha habari hapo juu, natafuta mtu wa kufungua nae maabara kwa ajiri ya tution ya vijana wa secondary ngazi zote, sifa ya mtu huyo awe ni mwalim mwenye ujuzi na issue hizo, au mtu yoyote atakae kuwa na uelewa na issue hizo, location ya maabara tutajadili nae kulingana na demand ya soko, pia sijafanya usajiri wa aina yoyote hivyo biashara tutasajiri pamoja.
Taja mshahara tujitokeze
 
Watu wanawaza maslahi tu swali la kwanza mshahara shilling ngapi?? Hawazi ya kuwa mwenzake kapigana hata kupata wazo na vifaa then amepata changamoto za ofisi na wataalamu sasa yeye badala ya kusema atatoa mchango gani ili waanze mradi na baadaye wapate pesa nyingi na waweze kujilipa vizuri yeye anawaza tu leo atalipwa bei gani???
 
Vifaa vyote nimeshanunua glassware na vingine vyote hapo issue ni office na expert wa kuendesha
Mimi najua kuandaa zote CHEM: Chemical reactions, Volumetric Analysis, Qualitative Analysis

PHY: Heat, Electric Current, Gravitational Force ( Pendulum Bob ) n.k

BIOS: Food Test, Osmosis & Diffusion, Movement nk

- Ila ndo kwanza nimetoka nimetoka chuo, sina hata 100 zaidi ya kuwa na utaalamu tu

- Kama utataka kuanza naweza kukupa kampani kwa muda,
 
Mimi najua kuandaa zote CHEM: Chemical reactions, Volumetric Analysis, Qualitative Analysis

PHY: Heat, Electric Current, Gravitational Force ( Pendulum Bob ) n.k

BIOS: Food Test, Osmosis & Diffusion, Movement nk

- Ila ndo kwanza nimetoka nimetoka chuo, sina hata 100 zaidi ya kuwa na utaalamu tu

- Kama utataka kuanza naweza kukupa kampani kwa muda,
Njoo in box mkuu tujadiri
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom