Glas
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,244
- 1,180
Habar zenu wadau,
Naandika ujumbe huu ikiwa ni very urgent nahtaji mtu wa kuniuzia banda la chipsi.
Nilikuwa nafanya mwenyewe ila korona ilipoisha nimerudi kazini sasa sina Mtu kabisa na eneo lilishaanza kuchangamka na wateja ni uhakika.
Maeneo ni Morogoro Lukobe
aliye na mtu au yuko tayari basi anichek kwa Private Message (PM)
Natanguliza shukurani
Naandika ujumbe huu ikiwa ni very urgent nahtaji mtu wa kuniuzia banda la chipsi.
Nilikuwa nafanya mwenyewe ila korona ilipoisha nimerudi kazini sasa sina Mtu kabisa na eneo lilishaanza kuchangamka na wateja ni uhakika.
Maeneo ni Morogoro Lukobe
aliye na mtu au yuko tayari basi anichek kwa Private Message (PM)
Natanguliza shukurani