Hivi una mtaka huyu msichana atoke uku JF? chunga sana usije jikuta unatafuta MKE mwenza ikidhani unatafuta msaidizi...... Na kama una watoto wadogo tafuta HouseBoy tu ila na wewe u jiheshimu kwa huyo HB usije mpa na kazi ambazo siyo zake. kama upo tayari mimi niko tayari kukufanyia kazi zako. kama umeridhika na malezo yangu ni PM tafadhali
Natafuta msichana wa kati wa miaka 18-28 wa kunisaidia shughuli za nyumbani.Awe tayari kuishi hapo.Kwa mawasiliano na mazungumzo piga 0784 580 333
siku hizi kupata msichana wa kazi si lelemama, hamna cha Iringa wala Singida!! Labda wazaramo tu na ni wavivu ile mbaya!!!
asante Shule za Kata!!!
[/I][/B]
Ni kweli,
Kwa sasa mi nina mpango wa kuanzisha chuo cha mahousegirls/boys.....
Sifa za kujiunga,uwe umefeli form two...na kuacha shule,au umemaliza form four na kupata :A S-eek:..
,uwe mwembamba(yaani una mwili mdogo),Umri usizidi miaka 16,watasoma miezi sita,na kuanza kazi.
Wataajiliwa kupitia chuo changu,na malipo yote yatalipwa kwa jina la chuo.Mwajili asipompenda mfanyakazi fulani tutambadilishia na kumpa mfanyakazi mwingine...
Tumeanza kufanya taratibu za kuanza mafunzo...na tutatangaza nafasi za masomo muda si mrefu.