Natafuta msichana wa kufunga nae pingu za maisha

mjasiliamali14

Senior Member
Jan 5, 2014
147
21
Mimi ni mtanzania niliyobahatika kuwa mwajiriwa wa serikalini nahitaji mwenza wa kuoana nae kuanzia miaka 18 - 40 sibagui dini wala kabila aliyetayari awetayari kupima VVU, naomba aliyetayari anipm.
 
Umesema hubagui dini wala kabila ila umesahau sura na umbo.... mademu wazuri wengi wanatokewa. Labda malaya
 
jamani nashukuru nazidi kupokea maombi naiman nikimpata wa kweli nitamuweka hapa ila mchakato upo ukingon na ndoa itakuwa ndani ya uhuu mwaka
 
unipe tenda ya kukutengenezea keki, kadi na kukupambia ukumbini ukimpata huyo unayemtafuta mtandaoni ila angalia hapa utaumizwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom