Antibiotics
New Member
- Jan 30, 2021
- 3
- 3
Hello Guys mimi ni Mwanaume miaka 30,naishi Dar,Am serious natafuta mchumba,Awe mkristu,mrefu wa wastani,maji ya kunde au mweupe asilia,Asiwe na mtoto,Elimu kuanzia form four na kuendelea, Awe au asiwe na kazi kwangu sawa tu,kabila lolote kutoka mkoa wowote,awe mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu,Kwa mdada ulie tayari njoo inbox or private DM ,tuyajenge!!