Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 13,136
- 27,079
Usiwe mtu wa kutalks tuu lala okay kwanz nimeshapataaa sawaa so bye
Usiwe mtu wa kutalks tuu lala okay kwanz nimeshapataaa sawaa so bye
Kuwa umempata teyari sio ishu ila hawa wadada mnawanyanyasa sana a hela zenu za ngama.Usiwe mtu wa kutalks tuu lala okay kwanz nimeshapataaa sawaa so bye
Kwahiyo wafanyeje? Kwani analazimishwa kazi... Akiona mateso si asepe. Acha ushambaKuwa umempata teyari sio ishu ila hawa wadada mnawanyanyasa sana a hela zenu za ngama.
Mcheki Joyce Kiria, kasajili kampuni ya kutoa ajira kwa wafanyakazi wa ndani.Natafuta msichana wa kazii awe na umri kati miaka 16-18 kituo Cha kazi Dar-es-Salaam Temeke Yombo vitukaa
Namba ya simu -0786-699076
-0657-239699
Unataka uwapeleke watoti wetu Kebera,Kenya maisha magumu watu wanashindia makande na mkate.50,000 ? Mm nalipa 180,000 hapo Kenya Nairobi nahitaji watu 5
wapo kibao wanalipwa mpaka 30000
Kama una watoto na unataka kuishi kwa amani na kutowabadilisha kila mara.. basi ongeza mshahara
Unatafuta mke kiaina?😝😝😝😝Mimi pia nahitaji dada wa kazi nimehamishiwa Dar kikazi last week. So familia inabakia mwanza. Umri 18asizidi 25. Mshahara 40+matibabu namkatia bima, nitamvisha, nitamlisha. Awe mzuri wasura maana nitaishi naye km gilrfriend pia hadi hapo mke atakapopata uhamisho. And once akihamia basi mahusiano yataisha siku hiyo na yeye atachagua kuendelea na kazi ama la.
Awe tayari kupima ngoma na awe mstarabu na mwaminifu sana.
Jamani tafuteni wamama watu wazima kama wanavyofanya ulaya.Mshahara angalau 150-200K.
Acheni watoto waende shule.
Tuwasiliane amemaliza form 4 na ana dv 4 nzuri tu
I hope atasaidia vijana pia homework zao
Ni binti mdogo sana hana makuu
Yani wewe tayari huwezi kuishi na mtu... Hawa wasichana wanaitaji kutuzwa nakufuzwa...!!! Na ukiishi nao kama mwanao amini hutojutia kwa chochote wapo smart sana ila ukiwa bandidu lazima mwanao akutane nacho...!!! Wewe boss wako akikunyanyasa kazini kwako unaacha kazi au unavumilia ili wanao waende toilet? Kama na wewe una watoto jifunze kuwa mwema kwa hawa raia" hakuna aijuae kesho mimi huwa naogopa kabisa kuishi nao vbaya maana huwa namuangalia binti yangu alafu nasema Mungu ndo anaejua kesho!!! Wacha niwe mwema kwa hawa mabinti wa kazi maana sijui wangu itakuwaje... Usifirikiri wanapenda izo kazi na manyanyaso mnayowapa wanavumilia ili icho kiasi kidogo kikasaidie aidha wazazi wake au ndugu zake uko kwaoKwahiyo wafanyeje? Kwani analazimishwa kazi... Akiona mateso si asepe. Acha ushamba