RAYAN THE DON
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 679
- 1,194
Habari zenu,
Ni matumaini yangu mu wazima kabisa na wenye safi na salama.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba namtafuta mtu ambaye yupo makini na ambaye anapenda kuwasaidia wanajamii katika masuala mbalimbali ya kijamii ili tuwenze kuanzisha asasi ambayo itakuwa inaihudumia na kuisaidia jamii katika nyanja zote za maisha zinazogusa jamii.
Hiyo asasi ambayo tutainzisha itatoa huduma zifuatazo:-
(a) Kuelimisha jamii kuhusu masuala ya afya.
(b) Kujenga vituo vya kulelea watoto yatima.
(d) Kutoa misaada mbalimbali kwa watu wenye uhitaji (wasiojiweza katika kutafuta riziki).
Mbali na hilo wazo la hapo juu, pia nina wazo la kuanzisha kampuni ya usafi hapa jijini Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha kampuni ya usafi kwa sababu uendeshaji wake siyo mkubwa sana ukilinganisha na shughuli zingine.
Karibuni sana kwa ushauri wenu.
Ni matumaini yangu mu wazima kabisa na wenye safi na salama.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, ni kwamba namtafuta mtu ambaye yupo makini na ambaye anapenda kuwasaidia wanajamii katika masuala mbalimbali ya kijamii ili tuwenze kuanzisha asasi ambayo itakuwa inaihudumia na kuisaidia jamii katika nyanja zote za maisha zinazogusa jamii.
Hiyo asasi ambayo tutainzisha itatoa huduma zifuatazo:-
(a) Kuelimisha jamii kuhusu masuala ya afya.
(b) Kujenga vituo vya kulelea watoto yatima.
(d) Kutoa misaada mbalimbali kwa watu wenye uhitaji (wasiojiweza katika kutafuta riziki).
Mbali na hilo wazo la hapo juu, pia nina wazo la kuanzisha kampuni ya usafi hapa jijini Dar es salaam.
Nimeamua kuanzisha kampuni ya usafi kwa sababu uendeshaji wake siyo mkubwa sana ukilinganisha na shughuli zingine.
Karibuni sana kwa ushauri wenu.