rafikimkweli
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 349
- 121
Bajeti yangu nasubiria ipitishwe na bunge la ubongo wangu.
Kwa siku tatu tu..
Yaani leo usiku mkesha...
Kesho sikukuu,
Na kesho kutwa
Tunaachana...
Ukuwa serious ni PM!!
Kwa siku tatu tu..
Yaani leo usiku mkesha...
Kesho sikukuu,
Na kesho kutwa
Tunaachana...
Ukuwa serious ni PM!!